Mbunge wa viti maalumu mkoani mbeya Mery Mwanjelwa,amekua msaada mkubwa
kwa vijana wa mkoa huo kutokana na kujitolea kataka harakati za vijana,
kataka kutafuta maisha yao vikundi mbalimbali vya mkoa wa mbeya pamoja
na timu za mpila zime kuwa na ushirika mzuri na Dr Mery Mwajelwa, pia
hata akina mama wame kuwa na mahusiano mazuri sana na kiongozi wao huyo,
vijana wa mkoa wa mbeya wamesema kwasasa wamegundua ya kwamba kiongozi
bora ni yule anaye kubari kuwasikiliza wananchi na ametenga mda
wakukutana nao, kwa sasa sisi vijana wa mkoa wa mbeya hatuigi tena
kushangilia chama bali tunataka kiongozi mzuri kama Dr Mery Mwanjelwa,.Ongeza kichwa |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni