Jumatatu, 30 Septemba 2013

MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA. DR. MARY MWANJELWA(CCM), AWACHANGIA LAKI TANO MASHABIKI WA TAWI LA MWANJELWA ENEO LA KABWE




 Juu na chini, Dr. Mary Mwanjelwa akipandisha bendera katika tawi hilo la Mwanjelwa ambako mashabiki wa timu ya Mbeya City, walimwalika kuwa mgeni rasmi.

 Viongozi wa Jiji la Mbeya wakishangilia ilipokuwa ikipanda bendera....
 Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akizungumza katika hafla hiyo fupi ya uzinduzi wa tawi la wakereketwa wa timu ya Mbeya City.
 Kulia ni Mwenyekiti wa mashabiki wa Mbeya City FC, Willy Mastala, akifurahia baada ya kukabidhiwa fedha taslmi Tsh. 500,000 na Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa.



 Mbeya City hoyeeeeee..hoyeeeeee...hoyeeeee
 Mashabiki wa tawi la Mbeya City wakiwa pamoja katika hafla hiyo...
 Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga, akielea protocal za kiuongozi, jambo ambalo vijana walionekana kutomwelewa huku wakipiga kelele za kutofurahia, baadae wakamshangilia baada ya kusema kuwa Jiji litawasafirisha mashabiki kuelekea Arusha tmu hiyo itakapoenda kucheza huko...
 Mbunge Dr. Mary Mwanjelwa akiwa ndani ya uzi wa MBEYA CITY




picha zote kwa hisani ya kalulunga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni