Alhamisi, 26 Septemba 2013

KANISA LA HOSSANA LIFE MINISTRY UBUNGO RIVER SIDE WATANGAZA SIKU TANO ZA KUFUNGULIWA KWAKILA KILICHOFUNGWA

Mch. kiongozi wa huduma ya Hossana ministry iliyo chini ya Mch. E.R.Mwansasu imetangaza siku tano zakufunguliwa kwakila kilicho fungwa, Mch. Mwansasu ametangaza maombi anayo yaongoza leo ikiwa siku ya pili tangu yaanze wengi wamepokea majibu yao na wanazidi kupokea majibu yao, huduma hii ya Hossana imefanyika faraja kwa wengi kwani imekuwa kituo cha shangwe iliyo hai na kila aliye kimbilia mahali hapa amekuwa akiponywa au kupata jibu lake wakati wasifa na kuabudu.

Mch. Mwansasu anakukaribisha siku yaleo mpaka jumapili kuungana na maelfu ya watu katika maombi yanayo endelea hemani mwabwana.




     Mch. Mwansasu akiimba moja ya ibada kanasani hapo.



TUTAWAENDEA KWA JINA LA BWANA TUTAWASHINDA MAADUI ZETU KISHA TUTARUDI NA MATEKA.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni